Artists Unite to fight the murder of Albino



Bongo Fleva artists teamed up with various stakeholders to fighting against the killings of albinos which is going on in the Lake Zone regions in the country.

Through social networks various artists have posted pictures and status condemning the killings.

Diamond Platnumz wrote on his Facebook status this message,

"Ndugu zangu! nafkiri ni Muda wa kubadilika sasa...Tuacheni fikra potofu, za Kipuuzi na ukatili Usio na Maana.. Hivi inamaa unataka kuniambia na hao kina Bill gates Mzee wa kuku, Carlos Slim, Amancio Ortega , Bakhresa na Matajiri wakubwa Duniani pia Walitajirika kupitia Ukatilii huu wa Ma Albino...??? Juhudi na Utendaji wako wa Kazi ndio utao kufanya Uendelee na kufikia Hayo Malengo unayoyataka... Tuache kujidanganya na Kuwatesa Ndugu zetu wasio na Hatia....."

Also, Ommy dimpoz posted this message..

"Kila mtu Anatamani kuwa na Mafanikio,Lakini Mafanikio hayaletwi kwa Kudhulumu nafsi ya Binadamu Mwenzio Kisa Utajiri,kwa pamoja tusimame na tupambane na Hawa watu wenye fikra potofu Wanaosaka utajiri kwa Kuua ndugu zetu Maalbino#StopAlbinoKillings"

Even Aunty Ezekiel bongo Movie star posted this message,

"STOP KILLINGS ALBINO HUYU PIA NI NDUGU RAFIKI NA MTU MUHIMU KTK JAMII YETU...."

Well, Together we can unite and condemn the killings of albinos.. Lets all fighting against the killings of albinos, Together we can